SHILINGI YAUA LYRICS BY SIMBA WANYIKA

April 06, 2026 - 03:54 PM

Ama kweli dunia ooh dunia
Ooh wake kwa waume
Baba ooh twasumbuka
Enzi ya Adamu na Eva
Dunia ilikuwa nzuri
Enzi ya Adamu na Eva
Dunia ilikuwa nzuri iyaah
Lakini dunia ya leo
Bila kuwa na pesa
Hakuna sauti mama
Ooh kusikika iyaah
Iwe mwanamke au iwe mtoto
Iwe mzee kila mtu mawazo yake mikopo
Aah Stella

Sasa ninashangaa ninapoona dunia
Kila mtu yuko mbio kutafuta shilingi
Kila mtu yuko mbio kutafuta shilingi iyaa
Hata ukiona hapo *Mbindo anapohangaika
Mawazo yake yote yako kwa shilingi iyaa
Uwe na sura nzuri baba ya kupendeza
Kama huna shilingi mambo yako ni bure iyaa
Mapenzi ya zamani yalikuwa ni bure
Zamani za kale mambo yalikuwa shwari
Lakini kisirani shilingi baba ikaharibu
Sasa hakuna cha bure dunia baba ni shilingi

Hata mtoto mchanga yule aliyezaliwa leo
Anapolia mama eeh mama eeh mama
Hebu tupa shling pale atakuonyesha pengo
Ama kweli shilingi ni sabuni ya roho
Hata kama una mawazo shilingi itakusafisha roho
Aah jamani
Hata yule mnyama yule wa siku hizi
Hebu tupa shilingi pale pale baba atakurarua
Iwe mzee wa miaka baba hamsini
Bora awe na shilingi warembo watamwandama
Na wewe kijana utaachwa hapo hapo iyaa
Ooh jamani

Shilingi yaua ooh tena maua
Shilingi yaua ooh tena maua
Shilingi yaua ooh tena maua

Shilingi ni tamu baba usiidharau
Hiyo shilingi moja inaweza kuvunja mlima
Hiyo shilingi moja inaweza ulale pakubwa
Usidharau shilingi baba yaua
Mama ooh ooh

Shilingi yaua ooh tena maua
Shilingi yaua ooh tena maua
Shilingi yaua ooh tena maua

Katikati ya mapenzi bila shilingi ni bure
Weye useme yote bila mapesa ni ngumu
Hata uwe na sura ya kupendeza baba ni ngumu
Bora uwe na shilingi mambo yako yatanyooka

Shilingi yaua ooh tena maua
Shilingi yaua ooh tena maua
Shilingi yaua ooh tena maua

Shilingi itakufanya weye baba uimbe
Tena shilingi itakufanya uwe ofisa
Hata ukiwa na miaka ishirini na tano baba
Pale pale utaitwa mzee
Pale pale utaitwa mzee wa shilingi

Shilingi yaua ooh tena maua
Shilingi yaua ooh tena maua
Shilingi yaua ooh tena maua yeeh

Ooh
Shilingi yaua ooh tena maua
Shilingi yaua ooh tena maua
Shilingi yaua ooh tena maua

Hakika shilingi ni kitu baba bora
Hiyo shilingi moja itakufanya baba usipande basi
Usidharau shilingi baba yang’ara
Katikati ya roho binadamu baba yang’ara iyee

Shilingi yaua ooh tena maua
Shilingi yaua ooh tena maua
Shilingi yaua ooh tena maua eeh

Ukitaka chochote dunia baba ni shilingi
Ukiwa na mpenzi wako ooh maneno tupu
Hayavunji mfupi wewe bwaga shilingi mezani

Shilingi yaua ooh tena maua
Shilingi yaua ooh tena maua
Shilingi yaua ooh tena maua

Mambo yafike magumu hayapitiki
Kati ya mapenzi hata useme mazuri
Lakini ukiona mwanamke anapita vile na vile
Weye toa shilingi juu weye utakubaliwa sana

Shilingi yaua ooh tena maua
Shilingi yaua ooh tena maua
Shilingi yaua ooh tena maua iyaah aah

Keep it locked at www.jabulaniradio.com

Listen to Jabulani Radio Live

Home of African Tunes

Smart Link

One link for all devices

OPEN SMART LINK

Default Stream

MP3 • 128 Kbps • Best quality

PLAY NOW

Mobile Stream

AAC • 64 Kbps • Saves data

PLAY ON MOBILE

HD Quality

MP3 • 192 Kbps • Crystal clear

PLAY IN HD

M3U Playlist

For VLC, Winamp & other players

DOWNLOAD M3U

Desktop Friendly

Full page player • Big screen

OPEN FULL PAGE

Featured Partner

Utalk Ad

Advertise here: marketing@jabulaniradio.com

Follow us on all major social media platforms

See also

Comments(0)

Log in to comment